| Back | Babu Bibi |
| Babu Bibi
Pitisha Mawazo Money, Money |
|
| Choir | Wapi wazee mira
zenu zote silazima pesa
Ngoma tunapenda |
![]() |
Nini haitahusika na
mambo ya pesa
Nani atatufurahisha bila kututoza pesa Wapi tutaweza kwenda bila kulipa pesa Ona Ulimwengu wote imeshanunuliwa na pesa Wazee tulinda mira isijekugeuka pesa Tubakiwe na mambo ya burudani si lazima pesa Tufurahia wacheza ngoma Uwanjani bila pesa Jaribu mapenzi bila pesa pesa Uliwahi kuogelea baharini bure? Sasa hivi unapumua…….. fresh Mifano mengi menyewe unajua, sina pesa Hakuna Hakuna senti hata moja kama ni kweli hutasema Geld, Geld Babu Bibi bila pesa sitaweza, mimi sina Ulimwenguni hutapata kitu tena bila pesa Maji tunanunua dukani, Geld Geld Baharini kuna kiingilio We, Wewe………, Njoo hapa, Leta pesa, leta pesa Hewa safi |
| Choir | Hewa safi kwa bei nafu |
| Back |